Ijumaa, 6 Mei 2016

magufuli awapaonyo wafichaji wa sukari

raisi wa awamu ya tano mheshimiwa john pombe magufuli amewapa onyo wafanyabiashara wa sukari. Amewapa onyo hilo akiwa safarini akielekea Arusha akitokea Dodoma. aliwaambia kuwa , wanatakiwa kuacha tabia ya kuficha sukari kwa kipkindi hiki ambacho sukari imekuwa tabu kupatikana. amewaambia kuwa endapo wataendelea kuficha sukari hiyo serikali itawanyanganya na kugaiwa kwa wananchi

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Ads Inside Post