Jumatano, 11 Mei 2016

magufuli yupo uganda

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili katika Uwanja wa ndege wa Entebbe, nchini Uganda kwa ajili ya kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais Yoweri Museveni, kesho.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Ads Inside Post