Ijumaa, 6 Mei 2016

Mwendesha mashtaka kataja makosa yaliyomfanya Siwema ahukumiwe miaka miwili jela

Baada ya kuwepo kwa headlines nyingi kuhusu Siwema ambaye ni Mama Mtoto wa msanii wa bongofleva Nay wa Mitego kuhukumiwa miaka miwili jela kwa kile kilichokuwa kinaripotiwa kuwa ni makosa ya kimtandao, ukweli umewekwa wazi baada ya kufanya Exclusive Interview na wakili wa serikali Moris Mtoi

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Ads Inside Post