Jumatano, 1 Machi 2017

kiama kwa wanywa viroba nchini



Kiama cha washukia wanywaji kilevi cha pombe maarufu kama viroba,onyo hilo limetolewa rasmi na serikali ya awamu ya tano kuwa ni marufuku kuuza ama kununua bidhaa ya kiroba na kama mtu atakamatwa kwa kujihusisha na uuzaji ama ununaji wa kilevi hicho adhabu yake ni faini ya shillingi  500000= elfu hamsini pamoja na kifungo kisichopungua miezi mitatu jela





Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Ads Inside Post