Alhamisi, 2 Machi 2017

Range Rover amchokoza BMW X4!

Kampuni ya TATA Motors imeamua kumbeep BMW X4 kwa kuja na kitu kipya kabisa, Inaitwa Range Rover Velar, ambao ipo katikati ya Range Rover Evoque na Discovery, ameamua kujipima nguvu na
BMW X4 na Porsche Macan ambao wako kwenye game tayari kwa muda mrefu sasa!!


Range Rover Velar!
[​IMG]


[​IMG]


Range Rover velar kwa ndani!

[​IMG]


[​IMG]

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Ads Inside Post