Bila shaka naona hizi siasa hadi kwenye vyombo vya serikali na hili halijaanza Leo:
Nakumbuka kanda ya ziwa mmiliki wa Imalaseko yalishamkuta baada ya kushabikia upinzani TRA walivamia na kumfilisi.
Na wengine wengi ukiwa upinzani ukiisema vibaya chama tawala na serikali basi jamaa wanatumwa.
Kwa hali ya kawaida na kulingana na sheria za nchi Bilcanas inamilikiwa na Mbowe hotels ni kampuni kwanini wasiishitaki kampuni badala ya mtu?
Kampuni ni legal person na inataratibu zake kwanini afuatwe mmiliki badala ya kampuni?
Mbona kwa Dangote walifuata taratibu za kuwawajibisha na hawakumshitaki Dangote kama mmiliki wa campun
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni