Ijumaa, 6 Mei 2016

Diamond hatukoja kusoma msg kwenye simu ya mpenzi wake kamwe, hii msg ndio ilimuumiza

Kwenye Exclusive Interview ya OnAIRwithMillardAyo mwimbaji staa wa bongofleva Diamond Platnumz hatosahau siku alipopekua simu ya mpenzi wake na kukuta msg ambazo zilimfanya mpaka leo asithubutu kushika simu ya mpenzi wake yeyote

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Ads Inside Post