Jiji la london leo limeandika historia mpya kwa kumpata meya wa kwwanza muislamu.Bwana Sadiq khan ambaye ni muingereza mwenye asili ya Pakistan
amefanikiwa kuchukua kiti hicho cha umeya kwa asilimia 56.5 dhidi ya mpinzani wake mkubwa bwana Troy Zac
ambaye alijipatia asilimia 43. 2 ya kura zote. Sadiq Khan baada ya kutangazwa kwa matokeo aliyasema haya"mtu kama mimi kuchaguliwa kuwa meya wa london sikuwahi kufikiria kwa kweli naahidi kuwa meya wa watu wote wa london
Jumamosi, 7 Mei 2016
London yaandika historia mpya
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni