Jumapili, 5 Machi 2017

kwa mara ya kwanza Calderon baada ya kuumia kichwa

Usiku wa March 3 2017 mshambuliaji wa zamani wa Liverpool na Chelsea ambaye kwa sasa anaichezea Atletico Madrid ya kwao Hispania Fernando Torres, jina lake lilitawala mitandaoni baada ya kugongwa na kupoteza fahamu uwanjani wakati wa mchezo dhidi ya Deportivo La Coruna.
Good news ikufikie kuwa Fernando Torres anaendelea poa na aliruhusiwa kutoka hospitali asubuhi ya March 3, lakini leo Torres ameonekana akihudhuria katika uwanja wao wa nyumbani wa Vicente Calderon kuangalia timu yake ikicheza dhidi ya Valencia.
Kuonekana kwa Torres uwanjani mbele ya mashabiki akiwa jukwaani kulileta furaha kwa mashabiki wa soka na kujua kuwa anaendelea vizuri na jeraha lake la kichwa, Torres aliishuhudia timu yake ikiifunga Valencia goli 3-0.
Torres alivyokimbizwa hospitali baada ya kupoteza fahamu uwanjani kutokana na kugongwa sehemu ya kichwani.

Sababu za Hispania kuteua Waziri anayeshughulika na mapenzi

Moja ya habari iliyomake headline kwenye vyombo vya habari vya kimataifa ni pamoja na hii iliyotokea Hispania ambapo Waziri Mkuu wa nchi hiyo Mariano Rajoy amethibitisha uteuzi wa Edelmira Barreira kuwa Waziri wa mapenzi. Sababu zilizotajwa ni pamoja na hofu waliyonayo wanasiasa juu ya idadi ya watu inayoendelea kupungua tena kwa kasi ya kutisha.
Sababu nyingine iliyotajwa ni kuwa wanandoa wanashiriki mipango ya uzazi pia hawana nafasi na wapenzi wao, hii inatajwa ndio imesababisha idadi ya watoto wanaozaliwa kupungua sana. Aidha takwimu za hivi karibuni zimeitaja Hispania kama moja wapo ya mataifa yanayoongoza kwa kupungua kwa idadi ya watoto wanaozaliwa.
Waziri wa elimu  wa nchi hiyo hivi karibuni aliwasilisha ripoti yake kwa serikali na baraza la mawaziri akilalamika kwamba madarasa ya shule hayana idadi ya kutosha ya watoto na akaonya kwamba huenda ikaathiri Spain kiuchumi katika miaka ijayo.
Katika kushughulikia ishu hiyo kwa haraka Waziri mkuu wa taifa hilo Mariano Rajoy amemteua Edelmira Barreira kuwa waziri anayeshughulikia mapenzi. Kazi kubwa ya waziri huyo mpya ni kuja na mbinu za mikakati ya kuwahamasisha na kuuchochea umma kurudi vitandani na kusaidia kutengeneza watoto ili kuijaza tena Hispania.
Ulikosa?  Waliozaliwa baada ya 1990 wana hatari ya kupata kansa ya utumbo, Bonyeza play hapa chini kutazama

Ulimi Kisimini-Siri Ya Mwanamke Kufika Kileleni.


Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa tendo) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea.

Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 3 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo la ndoa.

Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/tendo la ndoa (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Mwanaume hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi anaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja.

Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine wasijue hata utamu huo ukoje (well ule wa kipele ni tofauti kabisa na ule wa kisimi) lakini sio mbaya kama utapata hata huo wa juu kwa juu ambao ni wa kisimini.

Sehemu pekee ambayo itakufanya wewe mwanamke ufike kileleni kwa haraka ni kwa kufanyiwa kazi kwenye kisimi chako. Kuna wanaume ambao ni “wajanja” na hawaoni tabu kutumia ndimi zao kuwaridhisha wapenzi wao, wengine hutumia vidole na wengi hutumia uume wao.

Ndugu zangu!

Lakini ngoja nikuambie, fanya yote lakini kama unaweza kutumia ulimi ni mwisho wa mambo ikiwa ulimi huo utachezea kisimi katka mitindo ya a-z, mzunguuko, #8, pembe 2 pembe. Sio wajilambia kama “ice cream”, anatakiwa kutumia ncha ya ulimi kulamba na midomo ya nje + ulimi kukinyonya kisimi.

HII Ndiyo DNA ya Kitamaduni Kabisa Yenye Ukweli 90% Kujua Kama Mtoto ni Wako Au Umebambikiziwa


Hapo nyuma nilikuwa nikiambiwa kuwa Wazee ni dawa na hazina hasa katika kutupatia Maarifa sisi Vijana na Wajukuu zao nilikuwa sitaki kuamini na kuna wakati hata nilikuwa nikimwona tu Mtu Mzee au Bibi basi nawapuuza tu nikiamini kwamba hawana jipya tena.

Hali hii ilibadilika taratibu baada ya kuanza sasa kupenda kukaa na Wazee mara kwa mara ili niweze kuchota hekima na busara zao na kwa kweli tokea nianze kurudisha imani yangu kwa Wazee naona nimefaidika mno katika kupata Elimu dunia ambayo wengi wetu hatuna na tumebaki tu kujikita katika Elimu zetu hizi za Kitaaluma tukidhani kuwa pekee ndizo zitatukomboa Kifikra.

Pamewahi kuwa na nadharia kwamba akina Babu na Bibi wao huweza kujua Mtoto mchanga aliyezaliwa leo kama ni Mjukuu wao kweli au labda Mtoto wao amebambikiwa huyo Mtoto na Mama yake kutokana na usaliti wake ndani ya Mahusiano yao.

Niliamua kufanya mazugumzo yangu ya Kiudadisi kabisa na Wazee wa Mikoa mbalimbali ili tu niweze kujua kama kuna njia yoyote mbadala ( ukiachia ile ya kufanya DNA ambayo wengi wetu ndiyo tumeizoea ) ya Kiutamaduni ya kuweza kujua kama Mtoto aliyezaliwa na Mpenzi au Mke wangu ni wangu au nimebambikiwa.

Ndugu zanguni wana JF majibu niliyoyapata kutoka kwa hao Wazee wote yalinifanya nizidi kuamini kuwa kumbe tukiwatumia vizuri hawa Wazee bila kuwadhihaki, kuwadharau na kuwapuuza basi wanaweza kuwa sehemu yetu kubwa sana ya kupata maarifa na hata kutatua changamoto zetu zingine za kimaisha ambazo nyingi zimekuja kutokana na mfumo wetu huu wa Kimaisha ulioratibiwa na utandawazi ambao kimsingi umetuharibu na unaendelea kutuharibu.

Leo naweka hapa hadharani jinsi ya Wewe Mwanaume mwenzangu ambaye una Mtoto au hata upo mbioni kumpata Mtoto kuweza kujua kama huyo Mtoto aliyezaliwa ni wako kweli Kibailojia au umebambikiwa tu. Na nitangulize samahani kama kuna ambao nitawakwaza juu ya huu ukweli wa DNA ya Kiutamaduni ila nia yangu ni kuwaokoa tu Wanaume wenzangu juu ya hii kadhia ambayo imesababisha mitafaruku mingi mno katika Mahusiano na Ndoa.

HUU NDIYO UKWELI WA DNA YA KIUTAMADUNI

Ewe Mwanaume mwenzangu uliye na Mtoto hapo ulipo awe bado mdogo au tayari ameshakuwa Mtu mzima chukua mkono wowote uwe wa Kulia au wa Kushoto wa Mtoto unayeamini kabisa kuwa ni wako kisha kwa umakini kabisa huku ukiwa umetulia angalia pale katikati ya mkono ( katika palm ) linganisha ile mistari iliyopo na ya Mwanao kisha ukimaliza linganisha tena mistari iliyopo katika vidole vyake na vya Kwako.

Kwa mujibu wa hawa Mababu na Mabibi ( Wazee ) wanasema kuwa endapo Wewe Baba ukilinganisha hizo alama nilizokuelekeza hapo juu na kuona kuwa hazifanani na zako basi automatically jua ya kwamba huyo Mtoto siyo wako 100% na kwamba Mpenzi wako / Mkeo amekubambikia tu hivyo cha msingi tu ukishajua huu ukweli piga moyo konde, msamehe na maisha yaendelee.

Wamesema kwamba hata iweje Mtoto wako wa damu yako kabisa akizaliwa ni lazima tu alama zilizopo katika Mikono yake zitafanana na Wewe na wala haziongopi. Na ndipo hawa akina Babu na Bibi wakaenda mbele na kusema kuwa hiyo mbinu ndiyo iliweza kuwafanya wao huko nyuma wasiwe wasaliti na wawe wakweli kwani katika Makabila mengi hiyo mbinu ilishasambazwa na iliendelea kutumika. Na ili kulithibitisha hili ndiyo maana Bibi yoyote au Babu akipelekewa Mjukuu akimbeba tu kisirisiri atawahi kuuangalia mkono wa Mjukuu wake na hasa vidole vyake kisha atajua kuwa Mtoto wao kazalisha au kazalishiwa na wenzake.

MWISHO

Andiko langu hili kamwe halina kusudio la kuharibu Mahusiano yoyote yale bali naomba tulitumie tu kama sehemu ya kujipatia maarifa ambayo nina amini wengi wetu ( Vijana na Mabinti ) wa leo tulikuwa hatuna na kama itatokea umekuta umezalishiwa ( umebambikiwa ) basi ninachokuomba tu samehe, piga moyo konde na songa mbele na ule msemo wa Wahenga kuwa siku zote Kitanda hakizai haramu.

Kwa Dada zangu Wapendwa najua huu uzi utawaudhi na kuwauma ila tuvumiliane tu na pengine huu uzi unaweza ukawa msaada mkubwa sana Kwenu hasa katika kuwafanya mbadilike na muache kuwabambikia Wanaume zenu Watoto ambao siyo wao kwani hata Takwimu za mara ya mwisho za Mkemia Mkuu wa Serikali zinasema kuwa 49% ya Wanaume wa Kitanzania wanalea Watoto wasio wao ( wamebambikiwa ) hivyo mtusamehe na mtuonee huruma sisi Wanaume.


Tahadhari Kwa Wadada Mnaopenda Kuvaa Shanga Kiunoni...


Bwana Yesu asifiwe!!!

Wanawake wengi wanapenda kuvaa shanga kiunoni wakiamini zinawavutia wanaume wengi katika mapenzi.

Napenda kutoa tahadhali kwa wanaopenda kuzivaa hasa kiunoni kuwa asilimia 80% ya shanga zinazouzwa zikiwa zimeshasokotwa zinatengenezwa na waganga WA kienyeji au watu ambao ni mawakala WA shetani na kuzinuizia mapepo kwa malengo yafuatayo:


Kuharibu au kuiba nyota za watu
Kuwafunga wanawake uzazi
Kuwaunganisha na mtandao WA kuzimu
Kuvuruga mfumo WA hedhi WA wanawake
Kuwafanya wanawake kuwa makahaba, kwa sbb unatamani kukutana na wanaume wengi ili wakujue km unavaa shanga na unazitumia
Kuwafunga kimafanikio
Kuwafanya wasidumu kwny ndoa wanapoolewa.
Kuwafanya wafikirie ngono zaidi.


Sasa unaweza usinunue kwa mganga lakn aliyetengeneza ni mganga au agent WA shetani.

Ww unaweza kununua kwa MTU na ukamwona WA kawaida, au yeye anaeuza yamkini hajui lakn alyetengeneza alikuwa na kusudi.

Unahitaji kuwa makini sana Dada zangu na vitu vinavyovaliwa sirini.

Ni unaponunua ukazikomboa kwa damu ya Yesu ili kufuta Yale maagano na manuizo yalyoambatanishwa nayo.

Nami ninazikomboa kwa mamlaka ya Jina la Yesu kwa yeyote mwenye nazo nafuta manuizo yote kwa Damu ya Yesu, km unazo TYPE AMEN.



Zijue Sababu Sugu Zinazochangia Kuachwa Mara kwa Mara



Hivi ulishawahi kujiuliza ni kwa nini kila siku wewe umekuwa ni mtu wa kuachwa na kila mpenzi unayempata?

UBABE WAKO

Ubabe ni chanzo kikubwa cha mifarakano katika uhusiano wa kimapenzi. Utakuta mwanaume ni mbabe kupitiliza kwa mpenzi, mchumba au mkewe, mwanamke au mwanaume asifanye jambo dogo, ameshamtolea bonge la tusi, asifanye hivi kapewa teke! Hili ni tatizo. Kila siku utaishia kubadilisha wanaume au wanawake kwa sababu ya tabia zako za ubabe. Mapenzi hayahitaji ubabe bali lugha yenye mnato na mvuto kwa mwenza wako.

UZURI WAKO

Baadhi ya wapenzi ambao wanajifahamu kuwa wao wamebarikiwa, wamejaliwa kuwa na umbo au sura nzuri, basi kila kitu anachokifanya, anafanya kwa kujishebedua, akiamini kuwa mpenzi wake hana cha kumfanya kwa sababu ameumbika vizuri au kwa sababu yeye ni mtanashati. Tabia hiyo ya kujiona mzuri, humfanya kuleta uzuri ule hadi faragha, jambo ambalo halistahili. Wewe nani amekuambia uzuri wako ni muhimu kwenye sita kwa sita? Pale panahitaji kazi tu na si mbwembwe kama zako, ndiyo maana unaweza kumkuta msichana mrembo au kijana mtanashati lakini hadumu na mpenzi anayempata kwa sababu ya tabia yake ya umimi.

KUTOKUJIWEZA FARAGHA

Shindwa kazi yoyote, shindwa chochote katika dunia hii ila usishindwe kumpa huduma nzuri, yenye kumridhisha faragha mpenzi wako. Kama utakuwa unaweza kufanya mambo mengine vizuri lakini faragha unakuwa hujiwezi, hili ni tatizo kubwa sana, tatizo ambalo unatakiwa kulitafutia utatuzi mapema. Uvivu au kutokujituma unapokuwa faragha na mweza wako inaweza kuchangia kwa asilimia kubwa zaidi kuachwa na kila mpenzi unayekuwa naye. Mbaya zaidi uvivu wa faragha haubebwi na uzuri, elimu, umri, fedha, ustaa, wadhifa au umaarufu ulionao katika jamii.

URITHI WAKO

Mali za urithi nazo ni tatizo sana kwani utakuta mtu anatumia urithi wake kumnyanyasa mpenzi wake. Kwa mfano, mwanamke aliachiwa nyumba na wazazi wake na anakuwa na uhusiano na mpenzi wake, anaamua kuishi kwenye nyumba yake lakini utakuta anajisahau nakutaka kumpanda kichwani mpenzi wake. Anajikuta akisahau kuwa yeye ni mwanamke na mwenziye ni mwanaume pamoja na kwamba walikubaliana kuwa wataheshimiana na kupendana kwa dhati! Hilo jipu uchungu. Lazima jamaa atakukimbia kwani ataona kama unamnyanyasa kutokana na kipato, elimu, uwezo wako na kadhalika. Hivyo unapaswa kuwa makini sana na sababu hizo ambazo nimeziandika hapo na sababu hizi ni kwa wanawake na wanaume.

MAJIVUNO/KUJISIKIA

Hili pia ni tatizo kwenye uhusiano, haiwezekani wewe uwe ni mtu wa kujisikia au kujivuna kuwa wewe ni bora kuliko mweza wako, mtu unaishi naye, ‘unashea’ naye kila kitu lakini unamdharau, haipendezi na kwa tabia hiyo huwezi kudumu na mpenzi kwa muda mrefu kwani kila mtu atakuwa anakukimbia kwa sababu anajua hujui thamani ya kupenda. 

Chadema yaweka ulinzi mkali nyumba ya mama Wema......Ni Baada ya Nyumba Hiyo Kupigwa Mawe Usiku



Nyumba ya mama Wema Sepetu, Mariam Sepetu, iliyopo Sinza Mori jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia jana imepigwa mawe juu ya bati kwa muda wa saa moja na nusu.

Kutokana na tukio hilo viongozi wa Chadema wamechukua hatua ya kuweka ulinzi mkali nyumbani hapo na kuzungumza kuwa wamegundua kitu ambacho hawatakiweka wazi kwa sasa.


Baada ya tukio hilo kutokea mama Sepetu aliwasiliana na mwanae Wema Sepetu pamoja na viongozi wa Chadema, ambapo Meya wa Ubungo, Boniface Jacob alifika na kuangalia hali ya mama huyo na kuamua kuweka ulinzi.


”Tumeshaangalia mazingira yote tumegundua kitu ambacho hatuta kiweka wazi kwa sasa ila tutaweka ulinzi mkali na atakaye jaribu shauri yake hatuta kubali suala hili liendelee kumkuta kamanda wetu na mimi mara kwa mara nitafika kuangalia mazingira” amezungumza hayo Meya wa Ubungo, Boniface Jacob.


Meya alifafanua kuwa ulinzi huo hautaishia nyumbani kwa mama Wema bali hata nyumbani kwa Wema Sepetu ulinzi utaimarishwa kwani amegundua wanachama hao wapya wamekuwa wakiwindwa na watu wasiojulikana.


Wema alipohojiwa amesema, ” Mama yangu ameteseka usiku kucha kwa kukosa amani, amelia na kukosa hata hamu ya kula tumefika tumemkuta katika hali mbaya, najua yana mwisho ila tutazidi kufanya dua ya kumwomba Mungu atuepushie na mabaya yote,”.


Mama nae alihojiwa na kusema, ” sikuweza kutoka nje kwa kuwa najua mbaya wangu amekaa wapi na amekusudia kufanya nini,”.

Ads Inside Post