Jumanne, 28 Februari 2017

ROCKAFELLERS,familia tajiri zaidi duniani


  1. miaka kumi nimekuwa nikifanya research kuhusu familia inayojulikana kwa jina la ROCKAFELLERS

    kuna mada ililetwa humu kuhusu rothschild ilikuwa ni mada nzuri
    na katika baadhi ya wachangiaji walisema kuwa familia ya kina rothschild imepoteza ubabe wao wa kipesa eti familia ya kina rothschild wanazidiwa na kina bill gates, warren buffet n.k

    niliishia kucheka na ndicho kilinichonisukuma mie leo kuandika machache kuhusu familia hii ya kina rockafeller

    rockafeller ni familia ambayo imekuwapo tangu enzi na enzi ndio msingi wa serikali ya marekani kuwepo pale
    ubabe wa serikali ya marekani unatokana na uwezo wao hawa jamaa Rockerfeller

    JOHN D ROCKERFELLER NDIO TAJIRI AMBAYE HAWA NINA BILL GATES UTAJIRI WAKE WATAKALIA KUUSIKIA TU

    BILL GATES ANA LIKE 50 MILL BILLION USD ILA DID YOU KNOW THAT JOHN D ROCKAFELLER'S NET WORTH ILIKUWA $663.3 BILLION IN 2007 , ACCORDING TO LIST OF WEALTHIEST HISTORICAL FIGURES


    huyu jamaa watu wanasema alifilisika , no hakufilisika ila pesa zake alianzisha miradi mbali mbali mikubwa CHINI YA SERIKALI YA MAREKANI

    na hii ilikuwa ni kujipenyeza ili aweze kuwa na say katika serikali ya marekani

    mpaka leo familia yake ndio familia yenye nguvu sana marekani na duniani kote, wao ndio wanachagua nani awe raisi, nani awe mkuu wa majeshi nani awe makamu wa raisi famlia ya rockerfeller wanaingiza pesa nyingi sana kila siku kwenye miradi mikubwa ya marekani ikiwamo mradi wao maarufu wa ROCKAFELLER CENTER

    rockafeller center ni nini??

    Ngoja nikuulize swali dogo?

    ukiambiwa neno NEW YORK unafikiria nini

    MAGHOROFA si ndio
    hayo maghorofa ambayo asilimia kubwa yako yapo pale midtown midtown manhattan
    sasa jamaa hawa wana majengo 19 katika midtown manhatan acres 22 kuanzia street ya 48 mpaka ya 51

    [​IMG]




    kama hivyo ndivyo rockafeller center inavyoonekana

    picha zingine hizi hapa

    [​IMG]







    [​IMG]





    hapa ilivyokuwa inajengwa mwaka 1932


    wao ndio wanamiliki vyuo vikuu maarufu vyote vya marekani kwa kupitia Rockafeller foundation


    vyuo hivyo ni




    vingine ni



    • Senior (and Junior) also created
      • Rockefeller University in 1901
      • General Education Board in 1902, which later (1923) evolved into the International Education Board
      • Rockefeller Sanitary Commission in 1910
      • Bureau of Social Hygiene in 1913 (Junior)
      • International Health Commission in 1913
      • China Medical Board in 1915.
      • Rockefeller Museum, Israel, 1925–30
      • In the 1920s, the International Education Board granted important fellowships to pathbreakers in modern mathematics, such as Stefan Banach, Bartel Leendert van der Waerden, and André Weil, which was a formative part of the gradual shift of world mathematics to the US over this period.
      • To help promote cooperation between physics and mathematics Rockefeller funds also supported the erection of the new Mathematical Institute at theUniversity of Göttingen between 1926 and 1929
      • The rise of probability and mathematical statistics owes much to the creation of the Institut Henri Poincaré in Paris, partly by the Rockefellers' finances, also around this time.[SUP][7[/SUP]
      • Junior was responsible for the creation and endowment of the Colonial Williamsburg Foundation, which operates the restored historical town at Williamsburg, Virginia, one of the most extensive historic restorations ever undertaken.


    REAL ESTATE

    HAPA NDIO PATAMU


    The family was heavily involved in many real estate construction projects in the U.S. during the 20th century. Chief among them:

    • Rockefeller Center, a multi-building complex built at the start of the Depression in Midtown Manhattan, financed solely by the family
    • International House of New York, New York City, 1924 (Junior) {Involvement: John D. 3rd, Abby Aldrich, David & Peggy, David Jr., Abby O'Neill}
    • Wren Building, College of William and Mary's, Virginia, from 1927 (Renovation funded by Junior)
    • Colonial Williamsburg, Virginia, from 1927 onwards (Junior, Abby Aldrich, John D. 3rd and Winthrop), historical restoration
    • Museum of Modern Art, New York City, from 1929 (Abby Aldrich, Junior, Blanchette, Nelson, David, David Jr., Sharon Percy Rockefeller)
    • Riverside Church, New York City, 1930 (Junior)
    • The Cloisters, New York City, from 1934 (Junior)
    • The Interchurch Center, New York City, 1948 (Junior)
    • Asia Society (Asia House), New York City, 1956 (John D. 3rd)
    • One Chase Manhattan Plaza, New York City, 1961 (David)
    • Nelson A. Rockefeller Empire State Plaza, Albany, New York, 1962 (Nelson)
    • Lincoln Center, New York City, 1962 (John D. 3rd)
    • World Trade CenterTwin Towers, New York City, 1973-2001 (David and Nelson)
    • The Embarcadero Complex, San Francisco, 1974 (David)
    • Council of the Americas/Americas Society, New York City, 1985 (David)
    • In addition to this is Senior and Junior's involvement in seven major housing developments:
      • Forest Hill Estates, Cleveland, Ohio
      • City Housing Corporation's efforts, Sunnyside Gardens, Queens, New York City
      • Thomas Garden Apartments, The Bronx, New York City
      • Paul Lawrence Dunbar Housing, Harlem, New York City
      • Lavoisier Apartments, Manhattan, New York City
      • Van Tassel Apartments, Sleepy Hollow, New York (formerly North Tarrytown)
      • A development in Radburn, New Jersey
      • A further project involved David Rockefeller in a major middle-income housing development when he was elected in 1947 as chairman of Morningside Heights, Inc., in Manhattan by fourteen major institutions that were based in the area, including Columbia University. The result, in 1951, was the six-building apartment complex known as Morningside Gardens










    ROCKEFELLER NDIO WAANZILISHI WA
    Fed AU KWA JINA JINGINE NI FEDERAL RESERVE SYSTEM

    FED NI NINI?

    FED NI BANK SYSTEM YA MAREKANI AMBAYO NDIO INAYO CONTROL DOLLAR ILIYOANZISHWA MWAKA 1913 KAMA SIKOSEI

    NA HII WALIKUJA NAO KIPINDI CHA GREAT DEPRESSION KWANI GD ILIKUWA INACHANGIA WAO UTAJIRI WAO KUSHUKA SO WAKAJA NA HII FED ILI WAWEZE KU CONTROL DOLLAR

    WANA MSEMO UNOSEMA

    WE CONTROL DOLLAR, WE CONTROL OUR WEALTH
    [​IMG]


    WOTE TUNAJUA KUWA WAO NDIO WENYE
    WORLD TRADE CENTER NA

    STORY ZINASEMA KUWA WAO NDIO WALIOIANGUSHA WORLD TRADE CENTER

    WHY??

    1 SWEET REVANGE
    2. 1 SHOT TWO BIRDS


    SWEET REVANGE

    SWEET REVANGE NI KUWA WANA TAKE BACK THEIR OIL BUSINESS FROM ARABS KWANI KIPINDI KILE WAO ENZI ZA KINA JOHN D UTAJIRI WAKE MKUBWA ULIKUWA NI OIL

    THEN ARABS WAKA TAKE OVER

    SO WANAFANYA SWEET REVANGE WAKICHUKUA WALICHOIBIWA KUTOKA KWA BABU YAO JOHN D Oil


    1 shot two birds

    hii ni kuwa
    they take back oil business kwa kuiba oil kutoka kwa arabs

    na kufanikisha biashara yao ya silaha ambayo wame sign contract na serikali ya marekani


    hao ndio ROCKAFELLER FAMILY FAMILIA MATAJIRI 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Ads Inside Post