Mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam,mheshimiwa Paul Makonda,ameombewa duwa na waislamu kama
baraka na kinga kutoka kwa viongozi mbalimbali wa dini ya kiislamu katika ufunguzi wa mashindan
ya kusoma Quran nchini.Dua hyo aliipata kutoka kwa viongozi wenye elimu kubwa ya dini
ya kiislamu nchini
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni