Leo nmeona ni bora niwasaidie wanaume wenzangu ambao wengi huangukia katika suala zima la kutumia mabaya ya kuongeza nguvu za kiume ambayo hapo baadae huharibu kabisa mfumo mzima wa nguvu za kiume na kusababisha tatizo hilo kuwa sugu kiasi cha kukufanya kuwa hata mgumba.Leo naomba niongelee jambo moja tu ambalo ni matumizi sahihi ya vyakula lishe hasa hasa ulaji wa pilpili,kitaalamu inashauriwa kula pilpil hata 3,kwa siku ,kwani pilipili huweza kuondoa mgando wa damu katika mwili kwa kuongeza kiasi cha joto mwilini,joto ambalo husaidia kukuwa kwa nguvu za kiume kwa asilimia 3%.Pia wataalamu wameshauri kama unatatizo la kufika haraka kileleni kwa mwanaume unashauriwa chakula chako cha mwisho kabla ya kufanya mapenzi ,unashauriwa kutumia chakula chenye mchanganyiko na pilpili kidogo na ndimu kwani huamsha ari ya kushiriki tendo la ndoa na kukupa nguvu pia
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni