Jumapili, 29 Januari 2017

AJALI MBAYA YA TRENI YATOKEA
             Ajali mbaya  ya treni imetokea maeneo ya jirani na mto ruvu yakihusisha treni iliyokuwa inatokea kigoma kwenda dar es salaam.mpaka sasa bado haijathibishwa ni watu wangapi wamefariki au kujeruhiwa ,na mpka tunapokea taarifa hii hakuna watu wa msaadsa kama vile polisi na ambulance waliofika katika eneo la tukio.Tunajitahidi kuwaletea pich na hata video lza tukio husika soonImage result for ajali ya treni ruvu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Ads Inside Post