Jumanne, 31 Januari 2017

MATOKEO KIDATO CHA NNE 2016

http://matokeoyamitihani.blogspot.com/2016/01/csee-form-four-examination-results.html

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE KUONYESHA KIWANGO CHA UFAULU WA WANAFUNZI KUPANDA,KATIKA MATOKEO HAYO WAVULANA WANAONGOZA KWA ASILIMIA NYINGI UKILINGANISHA NA WASICHANA,WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO NYA UFUNDI PROFESA JOYCE NDALICHAKO,AMESEMA KUWA UFAULU HUO UMEPANDA KUTOKANA NA JUHUDI MBALI MBALI ZILIZOWEKWA NA SERIKALI YYAMETANGAZWA LEO NA A AWAMU YA TANO CHINI YA RAISI, JOHN POMBE MAGUFULI,KUYAONA INGIA KWENYE LINK HAPO CHINI,JUU

Jumatatu, 30 Januari 2017

JUA, TUMIZI YA PILI PILI KATIKA MAPENZI                

                        Leo nmeona ni bora niwasaidie wanaume wenzangu ambao wengi huangukia katika suala zima la kutumia mabaya ya kuongeza nguvu za kiume ambayo hapo baadae huharibu kabisa mfumo mzima wa nguvu za kiume na kusababisha tatizo hilo kuwa sugu kiasi cha kukufanya kuwa hata mgumba.Leo naomba niongelee jambo moja tu ambalo ni matumizi sahihi ya vyakula lishe hasa hasa ulaji wa pilpili,kitaalamu inashauriwa kula pilpil hata 3,kwa siku ,kwani pilipili huweza kuondoa mgando wa damu katika mwili kwa kuongeza kiasi cha joto mwilini,joto ambalo husaidia kukuwa kwa nguvu za kiume kwa asilimia 3%.Pia wataalamu wameshauri kama unatatizo la kufika haraka kileleni kwa mwanaume unashauriwa chakula chako cha mwisho kabla ya kufanya mapenzi ,unashauriwa kutumia chakula chenye mchanganyiko na pilpili kidogo na ndimu kwani huamsha ari ya kushiriki tendo la ndoa na kukupa nguvu pia

Jumapili, 29 Januari 2017

AJALI MBAYA YA TRENI YATOKEA
             Ajali mbaya  ya treni imetokea maeneo ya jirani na mto ruvu yakihusisha treni iliyokuwa inatokea kigoma kwenda dar es salaam.mpaka sasa bado haijathibishwa ni watu wangapi wamefariki au kujeruhiwa ,na mpka tunapokea taarifa hii hakuna watu wa msaadsa kama vile polisi na ambulance waliofika katika eneo la tukio.Tunajitahidi kuwaletea pich na hata video lza tukio husika soonImage result for ajali ya treni ruvu

Ads Inside Post